Swali: Je, inafaa kwa dereva kufupisha swalah zake safarini?
Jibu: Akiwa na nyumba na nchi anayoishi ndani yake, haitofaa kwake kufupisha. Ama akiwa hana mahali, kama wabaharia wa meli, hakuna neno [wakafupisha]. Kwani yeye hukumu yake ni kama wasafari wengine. Safari haikatiki kwake mpaka pale atapofika kwa familia yake.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2rXz5Jy
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni