Swali: Daktari akihukumu kwamba ubongo wa mtu fulani umekufa. Je, itafaa kugawa mirathi yake na kuzingatia tayari kishakufa?
Jibu: Hapana. Mirathi yake haigawiwi isipokuwa mpaka roho yake itoke kwenye kiwiliwili chake kabisakabisa.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2E0RwE5
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni