Translate

Ijumaa, 8 Februari 2019

Kugawa mirathi ya mgonjwa ambaye ameambiwa atafariki

Swali: Daktari akihukumu kwamba ubongo wa mtu fulani umekufa. Je, itafaa kugawa mirathi yake na kuzingatia tayari kishakufa?

Jibu: Hapana. Mirathi yake haigawiwi isipokuwa mpaka roho yake itoke kwenye kiwiliwili chake kabisakabisa.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2E0RwE5
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...