Translate

Jumapili, 21 Aprili 2019

Hukmu ya Kusherehekea Pasaka (Easter)

SWALI

Al-Lajnatu Ad-Daimah waliulizwa kuhusu kusherekea sikukuu ya kimataifa ya  Argentina na kusherekea huko hufanyika ndani ya makanisa yao, (sherehe hizo ni za siku) kama siku ya Uhuru, na kusherekea sherehe za Waarabu Wakristo kama Pasaka.


JIBU

Hairuhusiwi kwa Muislamu kuwa na sherehe kama hizo au kuhudhuria au kushirikiana na makafiri, kwa sababu kufanya hivyo ni kusaidiana kwenye madhambi na uadui, na Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Amekataza hilo.

Na Tawfiyq ni kutoka kwa Allaah.


[Fataawa Al-Lajnati Ad-Daaimah,  mj. 2, uk.76.]


http://bit.ly/2GpLUmP i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...