Translate

Jumatatu, 1 Aprili 2019

Funika chakula kabla hujaenda kulala na usikile utaposahau kukifunika

Swali

Je, imeamrishwa kufunika matunda na mambogamboga kabla ya kulala?
Jibu

Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kufunika vyombo vya jikoni na kutaja jina la Allaah wakati wa kufanya hivo. Hivyo ndivo inavotakiwa kufanya sawa ikiwa ni kinywaji au chakula kikavukavu. Isipokuwa tu matunda na mbogamboga zilizo na maganda yake.
Swali

Ni sawa kula chakula hicho ikiwa mtu amesahau kukifunika?
Jibu

Akisahau kufunika chakula hicho basi akipeane kwa wanyama. Asikile. Akikila basi amejifanyia vibaya juu ya nafsi yake.


Rejea Kitab Fataawaa wa Rasaa-il-ush-Shaykh ´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy (1/228-229)


https://ift.tt/2HSnWUg i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...