Swali: Baada ya kumaliza kutawadha niliingiwa na mashaka kama nilifuta juu ya soksi au hapana. Hata hivyo sikurudi kutawadha tena na nikaswali. Je, kitendo changu hichi ni sahihi?
Jibu: Mashaka baada ya kumaliza ´ibaadah hayadhuru. Lakini ukiingiwa na mashaka mwanzoni mwa ´ibaadah basi unatakiwa kushika lililo salama. Ikiwa ni katikati ya wudhuu´, basi unatakiwa kukamilisha kile ulichokitilia mashaka.
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2ucg4El
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni