Translate

Jumapili, 17 Machi 2019

Kuingiwa na mashaka juu ya kupangusa soksi baada ya kutawadha

Swali: Baada ya kumaliza kutawadha niliingiwa na mashaka kama nilifuta juu ya soksi au hapana. Hata hivyo sikurudi kutawadha tena na nikaswali. Je, kitendo changu hichi ni sahihi?

Jibu: Mashaka baada ya kumaliza ´ibaadah hayadhuru. Lakini ukiingiwa na mashaka mwanzoni mwa ´ibaadah basi unatakiwa kushika lililo salama. Ikiwa ni katikati ya wudhuu´, basi unatakiwa kukamilisha kile ulichokitilia mashaka.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2ucg4El
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...