Translate

Jumapili, 17 Machi 2019

Rangi za manyumba zinazuia maji

Swali: Wakati fulani naswali pembezoni mwa mtu ambaye mikononi mwake yuko na rangi za manyumba. Ni wajibu kumbainishia kwamba anatakiwa kuondosha rangi hii?

Jibu: Pasi na shaka. Rangi za manyumba zinazuia maji. Ni wajibu kwako kumnasihi aondoshe rangi hii na atawadhe ili maji yaweze kufika makuchani.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2ObwRAD
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...