Translate

Jumapili, 17 Machi 2019

Mlinzi na swalah ya ijumaa 02

Swali: Nafanya kazi kama mlinzi wa msikiti Ufaransa. Napitwa na swalah ya ijumaa kwa sababu ya kazi hii. Napata dhambi?

Jibu: Ikiwa yale unayoyachunga yatapotea au kuibiwa ikiwa utaondoka mahali hapo, basi unatakiwa kubaki kazini kwako kama mlinzi. Ama ikiwa huchelei hilo au akaja mtu mwengine mwaminifu akakukalia nafasi yako, hapo utawajibika kuswali swalah ya ijumaa.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2W6AM4t
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...