Translate

Ijumaa, 28 Desemba 2018

Toa taka ya dishi/king´amuzi chako nyumbani!

Swali: Mtu ambaye yuko na dishi/king´amuzi ni vipi atajinasua nacho ili aitakase dhimma yake?

Jibu: Ni wajibu kwetu kutahadharisha dhidi ya ving´amuzi hivi. Tunaona kuwa yule ambaye yuko na kitu katika hayo basi haitakasiki dhimma yake isipokuwa kwa kuivunja kabisa. Kwa sababu akikibakiza ni tatizo. Akikiuza amemsalitisha yule mnunuaji juu ya kukitumia[1]. Hakuna njia salama isipokuwa kwa kukivunja. Tunataraji Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) atampa badala bora yule mwenye kukivunja. Kwa sababu amekiacha kitu kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall).

[1] Tazama http://firqatunnajia.com/inafaa-kumuuzia-kafiri-kitu-cha-haramu-kama-tv-au-dishi/



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2Q7CsqT
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...