Ikiwa umezni na mwanamke akapata mimba akakwambia kua mtoto ni wako na wew huna uhakika wa huyo mtot
Ikiwa umezni na mwanamke akapata mimba akakwambia kua mtoto ni wako na wew huna uhakika wa huyo mtoto kama kweli ni wako au la siwako jeee ukimuhudumia mtoto huyo utapata dhambi au ukiacha kumuhudumia utapata dhambi sababu kama ulienda kutafuta vpimo vya damu na vikasibitisha kua ni wa kwako jeee nafaa nimchukue nikae nae mwenyewe sitopata dhambi*❓
View on YouTube
Translate
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
-
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri ...
-
SWALI: Assalaam alaykum Naomba maana ya majina yeyote tuwapao watoto wetu AU mnielekeze wapi naweza kupata labda katika kitabu cha fas...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni