Translate

Alhamisi, 27 Desemba 2018

New video by GROUP FAIDIKA NA MAWAIDHA on YouTube

Mume amemwambia mkewe ukizini ndio talaqa yako baada ya muda mume kaamua kuoa mke wapili na Yule mk
Mume amemwambia mkewe ukizini ndio talaqa yako baada ya muda mume kaamua kuoa mke wapili na Yule mke wa kwanza akakereka na kumwambia mumewe ukioa ntazini kwani talaqa nnayo mikononi mwangu, mume akamwambia mkewe kua naliondoa hilo shart hata ukizini sio talaqa yako. Je inafaa hivyo alivyosema anaiondoa hio qaul? Itakua imetenguka❓


View on YouTube

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...