Mume ameowa siku ya ijumaa,na akadhamiria mkewe atamuingilia siku ya J/pili ,ila kwa qadri za allah
Mume ameowa siku ya ijumaa,na akadhamiria mkewe atamuingilia siku ya J/pili ,ila kwa qadri za allah yule mume akafariki siku ya jumamosi na hali ya kuwa mume hajamaliza mahari, Na wala hajamuingilia mkewe hata mara moja,.suali Je.?(1) Mke huyo IPO haja amaliziwe mahari yake,au yeye ndio anapaswa arejeshe mahari ya mwanaume.?* *(2) Je.? mke huyo atalazmika kukaa EDA.? Na ni EDA gan hiyo itakua.?(3) Je.? mke huyo atapata Urithi kwa marehem.?*
View on YouTube
Translate
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
-
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri ...
-
SWALI: Assalaam alaykum Naomba maana ya majina yeyote tuwapao watoto wetu AU mnielekeze wapi naweza kupata labda katika kitabu cha fas...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni