Translate

Jumamosi, 1 Desemba 2018

New video by GROUP FAIDIKA NA MAWAIDHA on YouTube

Mume ameowa siku ya ijumaa,na akadhamiria mkewe atamuingilia siku ya J/pili ,ila kwa qadri za allah
Mume ameowa siku ya ijumaa,na akadhamiria mkewe atamuingilia siku ya J/pili ,ila kwa qadri za allah yule mume akafariki siku ya jumamosi na hali ya kuwa mume hajamaliza mahari, Na wala hajamuingilia mkewe hata mara moja,.suali Je.?(1) Mke huyo IPO haja amaliziwe mahari yake,au yeye ndio anapaswa arejeshe mahari ya mwanaume.?* *(2) Je.? mke huyo atalazmika kukaa EDA.? Na ni EDA gan hiyo itakua.?(3) Je.? mke huyo atapata Urithi kwa marehem.?*


View on YouTube

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...