Translate

Ijumaa, 22 Machi 2019

Mwanamke asimamishe ´ibaadah anapohisi alama za hedhi?

Swali: Wakati mwingine mwanamke anaweza kuhisi alama za kupata ada yake ya mwezi. Je, akihisi alama hizi za kupata hedhi aswali au asimamishe kuswali?

Jibu: Hukumu imefungamana na damu. Akitokwa na damu ndio asimamishe kuswali. Lakini midhali hajatokwa na damu yeye ni msafi. Hivyo aswali.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2U5fhUh
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...