Translate

Ijumaa, 22 Machi 2019

Msimamo kwa ndugu ambaye anashinda kwenye na anaacha swalah za mkusanyiko

Swali: Naishi katika kijiji kilicho mbali na ar-Riyaadh kwa 500 km na naishi pamoja na mjomba wangu. Nyumbani kwetu kuna dishi/king´amuzi. Haendi kuswali swalah ya Fajr pamoja na mkusanyiko. Nimekwishamnasihi juu ya hilo lakini hata hivyo haifui dafu – Allaah amwongoze. Je, niishi mbali na yeye? Nimehisi dhiki kiasi cha kwamba jambo hilo limenishughulisha na kutafuta elimu.

Jibu: Ikiwa hakubali nasaha basi usiingie naye. Lakini kariri nasaha huenda Allaah akamwongoza.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2UPIhfV
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...