Swali: Naishi katika kijiji kilicho mbali na ar-Riyaadh kwa 500 km na naishi pamoja na mjomba wangu. Nyumbani kwetu kuna dishi/king´amuzi. Haendi kuswali swalah ya Fajr pamoja na mkusanyiko. Nimekwishamnasihi juu ya hilo lakini hata hivyo haifui dafu – Allaah amwongoze. Je, niishi mbali na yeye? Nimehisi dhiki kiasi cha kwamba jambo hilo limenishughulisha na kutafuta elimu.
Jibu: Ikiwa hakubali nasaha basi usiingie naye. Lakini kariri nasaha huenda Allaah akamwongoza.
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2UPIhfV
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni