Translate

Jumapili, 24 Machi 2019

Kutangaza msikitini kitabu kilichopotea

Swali: Kuna ndugu mmoja wiki iliopita alichukua kitabu cha ndugu yake mwingine kimakosa. Je, kuelezea kuhusu kitabu hiki msikitini ni jambo limekatazwa au hapana?

Jibu: Ikiwa kimepotea na mmiliki akatangaza kwa kusema “yule atakayepata kitabu changu kadhaa… “ jambo hili halitakikani. Ama ikiwa anaeleza kwamba alichukua kitabu cha mwingine kimakosa hakuna neno.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2Yk6woI
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...