Swali: Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema:
“Huenda akalisema na yeye ni mjinga, hata hivyo hapewi udhuru.”
Jibu: Kwa sababu anaishi kati ya waislamu, karibu naye yuko na Qur-aan na Sunnah. Kwa msemo mwingine huyu anachukulia wepesi.
Swali: Haya yanafasiriwa kwamba ni yule mtu ambaye ni mzembe?
Jibu: Ndio. Ni mtu mzembe ambaye anaweza kujifunza lakini hata hivyo hakujali.
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2U8HTw8
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni