Translate

Ijumaa, 22 Machi 2019

Ibn Baaz kuhusu ujinga ni udhuru II

Swali: Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema:

“Huenda akalisema na yeye ni mjinga, hata hivyo hapewi udhuru.”

Jibu: Kwa sababu anaishi kati ya waislamu, karibu naye yuko na Qur-aan na Sunnah. Kwa msemo mwingine huyu anachukulia wepesi.

Swali: Haya yanafasiriwa kwamba ni yule mtu ambaye ni mzembe?

Jibu: Ndio. Ni mtu mzembe ambaye anaweza kujifunza lakini hata hivyo hakujali.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2U8HTw8
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...