Translate

Alhamisi, 21 Machi 2019

Hukumu ya kula Nyama ya mamba na nyoka

Swali


Je, wanyama wote wa baharini, kama mamba na nyoka wa baharini?


Jibu

Hapana, wanyama wanaoishi nchikavu na ndani ya maji hawaliwi. Wanyama wanaofaa kuliwa ni wale wanaoishi tu baharini. 


Kuhusu mamba na nyoka wanaishi nchikavu na ndani ya maji si wenye kuliwa. Wanaegemea zaidi upande wa uharamu.


NA  ALLAAH  ANAJUA  ZAIDI


https://ift.tt/2Ft64ND i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...