Translate

Jumamosi, 19 Januari 2019

Twawaaf-ul-Wadaa´ inaanguka kwa mgonjwa?

Swali: Mtu akipatwa na maradhi kabla ya kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´ inaanguka na hahitajii tena kufanya?

Jibu: Haianguki. Bali utatakiwa kufanya Twawaaf hali ya kubebwa. Isipokuwa tu mwanamke mwenye hedhi ndio Twawaaf kwake inaanguka.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2T1fqUV
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...