Swali: Mtu akipatwa na maradhi kabla ya kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´ inaanguka na hahitajii tena kufanya?
Jibu: Haianguki. Bali utatakiwa kufanya Twawaaf hali ya kubebwa. Isipokuwa tu mwanamke mwenye hedhi ndio Twawaaf kwake inaanguka.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2T1fqUV
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni