Ukimuona mtu anamtukana mmoja katika Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), basi tambua kuwa ni zindiki. Hayo ni kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni haki na Qur-aan ni haki. Waliotunukulia Qur-aan hii na Sunnah ni Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanachokusudia ni kuwajeruhi mashahidi wetu ili waiporomoshe Qur-aan na Sunnah – wao wana haki zaidi ya kujeruhiwa. Isitoshe ni mazanadiki.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2S3FUrz
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni