Translate

Alhamisi, 24 Januari 2019

Abu az-Zur´ah kuhusu anayemtukana Swahahabah mmoja tu

Ukimuona mtu anamtukana mmoja katika Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), basi tambua kuwa ni zindiki. Hayo ni kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni haki na Qur-aan ni haki. Waliotunukulia Qur-aan hii na Sunnah ni Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanachokusudia ni kuwajeruhi mashahidi wetu ili waiporomoshe Qur-aan na Sunnah – wao wana haki zaidi ya kujeruhiwa. Isitoshe ni mazanadiki.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2S3FUrz
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...