´Abdullaah bin Sallaam ni myahudi ambaye alichelewa kuingia katika Uislamu na akaeneza ndani yake I´tiqaad za kiyahudi. Huyu ndiye ´Abdullaah bin Sallaam ambaye amesema kuhusu maneno Yake (Ta´ala):
وَمِنَ اللَّيْلِ فَتَهَجَّدْ بِهِ نَافِلَةً لَّكَ عَسَىٰ أَن يَبْعَثَكَ رَبُّكَ مَقَامًا مَّحْمُودًا
“Amka katika sehemu ya usiku uswali – ni ziada ya Sunnah kwako – kwani huenda Mola wako akakuinua cheo kinachosifika.”[1]
Maana yake ni kwamba itapofika siku ya Qiyaamah basi ataletwa Mtume wenu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kukalishwa mbele ya Allaah juu ya Kursiy Yake.”[2]
[1] 17:79
[2] al-Haakim (05/568), Ibn Abiy ´Aaswim (786), al-Khallaal katika “as-Sunnah” yake, uk. 209 na ad-Dhahabiy (191).
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2Td8eVW
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni