Swali: Wakati Allaah (Ta´ala) aliposema:
وَيَبْقَى وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلالِ وَالإِكْرَامِ
“Utabaki Uso wa Mola wako, wenye utukufu na ukarimu.” (55:27)
Ni sawa kusema kwamba uso ni dhati ya Allaah?
Jibu: Ndio. Aayah inathibitisha uso na dhati vyote viwili. Lakini Ahl-ul-Bid´ah wanafasiri kuwa ni dhati pekee ndio itabaki na wanapinga uso. Aayah inamthibitishia uso Allaah (´Azza wa Jall).
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2Ji4fXF
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni