Translate

Jumapili, 17 Machi 2019

Ahl-ul-Bid´ah ndio wanathibitisha dhati na kupinga uso

Swali: Wakati Allaah (Ta´ala) aliposema:

وَيَبْقَى وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلالِ وَالإِكْرَامِ

“Utabaki Uso wa Mola wako, wenye utukufu na ukarimu.” (55:27)

Ni sawa kusema kwamba uso ni dhati ya Allaah?

Jibu: Ndio. Aayah inathibitisha uso na dhati vyote viwili. Lakini Ahl-ul-Bid´ah wanafasiri kuwa ni dhati pekee ndio itabaki na wanapinga uso. Aayah inamthibitishia uso Allaah (´Azza wa Jall).



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2Ji4fXF
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...