Translate

Jumanne, 19 Machi 2019

158. Kwa nini mtunzi wa kitabu amechagua vichenguzi kumi tu?

Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:

Na yote haya ni katika mambo makubwa ambayo yanakuwa ni yenye khatari na hutokea mara nyingi.

MAELEZO

Kwa nini Shaykh amechafua vichenguzi hivi pamoaj na kwamba vichenguzi ni vingi? Kwa sababu vichenguzi hivi kumi ndio ambayo hutokea mara nyingi. Kadhakika ndio yenye khatari zaidi. Amevichagua kwa sababu mbili:

Ya kwanza: Ndio vichenguzi ambavyo hutokea mara nyigni.

Ya kwanza: Ndivyo vyenye khatari zaidi.

Hali ikishakuwa hivo basi yana haki zaidi ya kuyatilia umuhimu na kutahadhari nayo.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2Cr6ouq
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...