Translate

Jumanne, 1 Januari 2019

77. Matamshi ya Tashahhud – Tamko la ´Aaishah

6- Tashahhud ya ´Aaishah. Qaasim bin Muhammad amesema:

“´Aaishah alitufunza Tashahhud, akiashiria kwa mkono wake hali ya kusema:

التحيات، الطيبات، الصلوات، الزاكيات لله، السلام على النبي و رحمة الله و بركاته، السلام علينا و على عباد الله الصالحين، أشهد أن لا إله إلا الله و أشهد أن محمداً عبده و رسوله

“Maadhimisho, mazuri, swalah, na matendo mema yote yanamstahikia Allaah. Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu ya Mtume! Amani ishuke juu yetu na juu ya waja wema wa Allaah. Nashuhudia ya kwamba hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah na nashuhudia ya kwamba Muhammad ni mja na Mtume Wake.”[1]

[1] Ibn Abiy Shaybah (1/293), as-Sarraaj, al-Mukhallasw na al-Bayhaqiy (2/144) na tamko ni lake.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2R1tsJl
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...