Translate
Alhamisi, 12 Desemba 2019
Ujenzi wa Msikiti mkubwa Afrika Mashariki unaojengwa Dar wafikia Pazuri
Balozi wa Misri, Saudia, Oman, Morocco na Comoro leo Disemba 12 wametembelea ujenzi wa Msikiti wa Mohammad wa Sita unaondelea kujengwa katika eneo la Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo Msikiti huo unajengwa kwa msaada wa mfalme wa Morocco umefikia asilimia 90.
Chanzo : Muungwana blog
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
-
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri ...
-
Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh YAFUATAYO NI MAJINA YA MASWAHABA WANAWAKE (RADHI ZA ALLAAH...
-
SWALI: Assalaam alaykum Naomba maana ya majina yeyote tuwapao watoto wetu AU mnielekeze wapi naweza kupata labda katika kitabu cha fas...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni