Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka na kuuza vitabu vya uchawi?
Jibu: Ni munkari na kueneza uchawi. Kueneza vitabu vya uchawi ni munkari. Ni wajibu kukemea mauzo ya vitabu hivi, kuvichana na kumuadhibu mwenye kuvieneza.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2AHHtSe
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni