Translate

Jumapili, 13 Januari 2019

Biashara ya vitabu vya uchawi

Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka na kuuza vitabu vya uchawi?

Jibu: Ni munkari na kueneza uchawi. Kueneza vitabu vya uchawi ni munkari. Ni wajibu kukemea mauzo ya vitabu hivi, kuvichana na kumuadhibu mwenye kuvieneza.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2AHHtSe
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...