Translate

Jumapili, 13 Januari 2019

Riziki kwa kumuasi Allaah

Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara kwa du´aa ambazo ndani yake kuna uchawi, mahimizo ya kunyoa ndevu, madawa ya kulevya na mfano wake?

Jibu: Kufanya biashara kwa haya ni haramu. Huku ni kueneza maovu na haramu. Hili ni chumo haramu. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Riziki haitafutwi kwa kumuasi Allaah (´Azza wa Jall).”



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2AHjDGo
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...