Translate

Jumapili, 20 Januari 2019

Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu ambaye anagusa msahafu ilihali yuko na hadathi?

Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu ambaye anagusa msahafu ilihali yuko na hadathi?

Jibu: Haijuzu kugusa msahafi ilihali mtu yuko na hadathi. Amesema (Ta´ala):

لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ

“Haigusi isipokuwa waliotwaharishwa kabisa.” (16:79)

Katika Hadiyth ya ´Amr bin Hazm ambaye amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Haigusi Qur-aan isipokuwa yule mwenye twahara.”

Haya ndio maoni ya wale maimamu wane. Haifai kuigusa Qur-aan isipokuwa yule ambaye yuko na wudhuu´.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2RUBFPk
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...