Translate

Jumapili, 20 Januari 2019

Katika Sunnah kumethibiti Takbiyr iliyofungamanishwa?

Swali: Katika Sunnah kumethibiti Takbiyr iliyofungamanishwa (Muqayyad)?

Jibu: Takbiyr iliyofungamanishwa kwa mujibu wa wanachuoni inakuwa baada ya zile swalah tano. Kuanzia siku ya ´Arafah mpaka ile siku ya mwisho ya Tashriyq. Mtu anatakiwa kuleta Takbiyr siku ya ´Arafah, siku ya ´Iyd na yale masiku matatu ya Tashriyq. Kwa mwenye kuhiji ni pindi atapohudhuria ile siku ya kuchinja atakaporusha mawe kwenye nguzo ya ´Aqabah. Hii ndio Takbiyr iliyofungamanishwa. Imechukuliwa katika maneno Yake (Ta´ala):

وَاذْكُرُوا اللَّـهَ فِي أَيَّامٍ مَّعْدُودَاتٍ

”Mtajeni Allaah katika siku za kuhesabika.”[1]

[1] 02:203



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2HmUvKQ
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...