Niliolewa tukabahatika kupata mtoto mmoja wakike alipofika miaka miwili tukaachana kwasasa anamiaka
Niliolewa tukabahatika kupata mtoto mmoja wakike alipofika miaka miwili tukaachana kwasasa anamiaka nane hakuna huduma yeyote inayotoka kwa baba ake wala ndugu zake wala mawasiliano kutoka kwao hawamuulizi chochote si kwakujua hali matumizi yeyote je nifanyeje mm nahuyu mtoto nakuwA namuhudumia mwenyewe mavazi matibabu nk❓
View on YouTube
Translate
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
-
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri ...
-
SWALI: Assalaam alaykum Naomba maana ya majina yeyote tuwapao watoto wetu AU mnielekeze wapi naweza kupata labda katika kitabu cha fas...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni