Mimi munewangu kanambia akizini yeye ndio talaka yangu na mie najua kama anazini sina usbahidi ila k
Mimi munewangu kanambia akizini yeye ndio talaka yangu na mie najua kama anazini sina usbahidi ila kashawahi kumtia mwanamke mpaka chumbani kwangu na sasa tushazaa watoto wanne na yeye simuda mdogo akasema naiondoa ile qaul kama nikizini ndio talaka yako je kama aliposema na akawa anazini bila mie kujua ndoa yetu yawaje na hao watoto tulowazaa wanakua wahalali❓
View on YouTube
Translate
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
-
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri ...
-
SWALI: Assalaam alaykum Naomba maana ya majina yeyote tuwapao watoto wetu AU mnielekeze wapi naweza kupata labda katika kitabu cha fas...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni