Translate

Jumamosi, 2 Februari 2019

Haijuzu kuomba du´aa kwenye makaburi

Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kukusudia kwenda kumuomba Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) kwenye makaburi ya waja wema?

Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Haijuzu kuomba du´aa wala kuswali kwenye makaburi. Haifai kufanya hivo. Kwa sababu kufanya hivi kunapelekea kuyaabudu makaburi.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2Rz6g0h
via IFTTT

Mfano wa matendo ya moyo

Swali: Kumtegemea Allaah na kumpenda ni jambo linaingia katika matendo ya moyo au maneno ya moyo?

Jibu: Matendo ya moyo. Kuwa na shauku, woga, kutubia na kutaka msaada ni katika matendo ya moyo.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2WAQupz
via IFTTT

Kusihi kwa ´ibaadah



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2Tuvpew
via IFTTT

Sharh Masaa-il-il-Jaahiliyyah 02



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2SsfdNP
via IFTTT

Sharh Masaa-il-il-Jaahiliyyah 01



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2GknuN5
via IFTTT

Sharh Masaa-il-il-Jaahiliyyah 03



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2WzaqZW
via IFTTT

Sharh Masaa-il-il-Jaahiliyyah 04



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2RCOKZq
via IFTTT

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...