Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu chumba cha kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kadhalika kufanya Tabarruk kwa kugusa mimbari yake?
Jibu: Mimbari imeumbwa na ni udongo. Kinachotakiwa kufanyiwa Tabarruk ni kile kilichogusana na mwili wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kama mfano wa nywele na jasho. Haya ndio yanayofanyiwa Tabarruk. Kuhusu yale ambayo hayakugusana na mwili wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hayafanyiwi Tabarruk.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2VKC4Wj
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni