Translate

Ijumaa, 3 Mei 2019

Tabarruk kupitia mimbari ya Mtume

Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu chumba cha kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kadhalika kufanya Tabarruk kwa kugusa mimbari yake?

Jibu: Mimbari imeumbwa na ni udongo. Kinachotakiwa kufanyiwa Tabarruk ni kile kilichogusana na mwili wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kama mfano wa nywele na jasho. Haya ndio yanayofanyiwa Tabarruk. Kuhusu yale ambayo hayakugusana na mwili wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hayafanyiwi Tabarruk.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2VKC4Wj
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...