Translate

Ijumaa, 3 Mei 2019

Matabano kwa chumvi

Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma matabano ya Kishari´ah kwa kutumia chumvi kisha mtu akainyunyizia katika nyumba?

Jibu: Haya ni katika matendo ya kipindi cha kikafiri.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2LjaSKj
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...