Translate

Alhamisi, 2 Mei 2019

Hukmu ya Kuvaa Kope za Bandia

SWALI

Nini hukmu ya mwanamke kuvaa kope za bandia?

 

JIBU

 

Kope za bandia haziruhusiwi kwa sababu (hukmu yake) inafanana na hukmu kuunga nywele  na Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amemlaani anayeunga nywele na anayeungwa.

 

Na hizo kope zikiwa kama ninavyodhania siku hizi zinatengenezwa kutokana na nyuzi nyeusi kama nywele na kuvaliwa kama kope kuzifanya zionenakane nyingi na kufanya macho yaonekane mazuri, basi hivi ni kama kuunga nywele jambo ambalo Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amemlaani anayeunga na anayeungwa...

[Imaam Ibn ‘UthyamiynFataawa Nuwr ‘Alad-Darb (5626) (11/82)]

Na Allaah anajua zaidi



http://bit.ly/2VLUciM i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...