Swali: Dada yangu amesibiwa na jini na amepata mchumba. Ni lazima kwake ambainishie yule mposaji kwamba yuko na jini?
Jibu: Ndio, ni wajibu kwako kumbainishia maradhi alionayo. Vinginevyo itakuwa ghushi.
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2FnWHxg
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni