Translate

Jumamosi, 23 Machi 2019

Ni wajibu kumbainishia mposaji maradhi yako

Swali: Dada yangu amesibiwa na jini na amepata mchumba. Ni lazima kwake ambainishie yule mposaji kwamba yuko na jini?

Jibu: Ndio, ni wajibu kwako kumbainishia maradhi alionayo. Vinginevyo itakuwa ghushi.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2FnWHxg
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...