Swali: Mwenye kutilia shaka kwamba inafaa kwa baadhi ya watu kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hukumu yake ni kama yule anayeamini hivo?
Jibu: Ndio. Mwenye kutilia shaka kwamba baadhi ya watu wanaweza kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad na kwamba si lazima kwa baadhi ya watu kumfuata Mtume anakufuru kwa kule tu kutilia shaka.
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2YlcoOk
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni