Translate

Jumapili, 24 Machi 2019

Kuwa na shaka kwamba wapo watu ambao hawalazimiki kumfuata Mtume

Swali: Mwenye kutilia shaka kwamba inafaa kwa baadhi ya watu kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hukumu yake ni kama yule anayeamini hivo?

Jibu: Ndio. Mwenye kutilia shaka kwamba baadhi ya watu wanaweza kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad na kwamba si lazima kwa baadhi ya watu kumfuata Mtume anakufuru kwa kule tu kutilia shaka.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2YlcoOk
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...