Translate

Jumapili, 2 Desemba 2018

Mzamishe na pora mali ya Ahl-us-Sunnah na asikuone yeyote

al-Kulayniy amesema:

“Watu wote ni watoto wa uzinifu isipokuwa tu kundi letu.”[1]

Kwa ajili hiyo wamehalalisha kuwaua Ahl-us-Sunnah na kupora mali yao. Daawuud bin Farqad amesema:

“Nilimuuliza Abu ´Abdillaah kuhusu kumuua naswibi ambapo akajibu: “Ni halali kumuua, lakini mimi nachelea juu yako. Ukiweza kumpindulia ukuta au kumzamisha kwenye maji kwa njia ya kwamba hakuna yeyote atakayekuona, basi fanya hivo.”[2]

Imaam al-Khumaymiy ametilia taaliki hili na akasema:

“Ukiweza kuichukua mali yake basi fanya hivo na ututumie fungu moja ya tano.”

[1] ar-Rawdhwah (8/135).

[2] Bihaar-ul-Anwaar (27/231).



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2P8Twwp
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...