Translate

Jumapili, 2 Desemba 2018

Hakuna tabasamu kwa Ahl-ul-Bid´ah na watu wa Maulidi

Swali: Vipi mtu anatakiwa kutangamana na Ahl-ul-Bid´ah na kwenda kwao kinyuma wanaposema kwamba ni sawa kusherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?

Jibu: Ni wajibu kwa mtu kujiepusha na watu hawa. Jambo la kwanza mtu anatakiwa kuwanasihi ikiwa unaweza kufanya hivo. Wasipokubali basi jitenge nao mbali. Ikiwa huwezi kuwapa nasaha basi jiepushe nao na wala usikae nao na wala usiwazungumzishe. Ikiwa umelazimika kuitikia salamu yao pindi wanapokutolea au unapokutana nao ukalazimika kuwatolea salamu, lakini hata hivyo ni wajibu kwako usiwaonyeshe tabasamu.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2PeUpDA
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...