Translate

Jumapili, 2 Desemba 2018

21. Hakuna tofauti kati ya al-Albaaniy na wanachuoni wa Saudia

Ninavyoamini ni kwamba Salafiyyah alionayo al-Albaaniy ndio Salafiyyah ileile walionayo wanachuoni wa Saudi Arabia kama mfano wa Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Baaz, Ibn ´Uthaymiyn, al-Fawzaan, ´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh na wengineo. Anaamini yale wanayoamini juu ya majina na sifa za Allaah, Qadar, kwamba Qur-aan ni maneno ya Allaah yaliyoteremshwa na haikuumbwa na I´tiqaad nyenginezo. Kama kuna tofauti ndogo basi ni katika mambo ya Ijtihaad. Ama katika ´Aqiydah, hakuna tofauti kati yake yeye na wao.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2FXSu6Y
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...