Translate

Jumapili, 25 Novemba 2018

Asiyekuwa na elimu ruhusa kwake kufuata madhehebu

Swali: Ni ipi hukumu watu wa kawaida wakaiga madhehebu maalum na wakarejea kwa baadhi ya wanachuoni? Je, huo ni ushabiki?

Jibu: Hapana, kwa sababu Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:

فَاسْأَلُوا أَهْلَ الذِّكْرِ إِن كُنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ

“Waulizeni watu wa ukumbusho mkiwa hamjui.”[1]

Asiyekuwa na elimu anapaswa kuwauliza wanachuoni. Allaah ndiye kaamrisha hilo.

[1] 21:07



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2PRrlHF
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...